SEE HERE NAMES OF STUDENTS SELECTED TO JOIN FORM FIVE 2022, COLLEGES
Wanafunzi 153,219 wakiwemo wasichana 67,541 na wavulana 85,678 sawa na asilimia 91.8 ya wenye sifa, wamechaguliwa kujiunga na Shule za sekondari Kidato cha Tano, Vyuo vya Ualimu na Vyuo vya Elimu ya Ufundi mwaka, 2022.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi OR -TAMISEMI Innocent Bashungwa wakati akitangaza matokeo ya uchaguzi wa wanafunzi wa kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ualimu na vyuo vya elimu ya ufundi mwaka 2022.
“Muhula wa kwanza kwa wanafunzi wa kidato cha tano utaanza tarehe 13 Juni, 2022. Hivyo, wanafunzi wote wanapaswa kuanza kuripoti katika shule walizopangiwa kuanzia tarehe 13 Juni, 2022. Siku ya mwisho ya kuripoti itakuwa tarehe 30 Juni, 2022,” Waziri Bashungwa.
Students selected to join form five and Technical Colleges 2022/23 academic year -Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga na Kidato Cha Tano mwaka wa masomo 2022/2023, Vyuo vya Elimu, Vyuo vya Ufundi.
OFISI YA RAIS – TAMISEMI
ELECTION OF FORM FIVE STUDENTS AND INTERMEDIATE COLLEGES, 2022
CLICK HERE TO SEE A LIST OF STUDENTS SCHEDULED TO ONE SCHOOL
CHOOSE THE REGION YOU READ
ARUSHA | DAR ES SALAAM | DODOMA |
GEITA | IRINGA | KAGERA |
KATAVI | KIGOMA | KILIMANJARO |
LINDI | MANYARA | MARA |
MBEYA | MOROGORO | MTWARA |
MWANZA | NJOMBE | PWANI |
RUKWA | RUVUMA | SHINYANGA |
SIMIYU | SINGIDA | SONGWE |
TABORA | TANGA |